Saturday, May 5, 2007

Ujumbe!

Serikali ya Tanzania imedhamiria kuvitangaza vivutio vilivyopo nchini. Hapa ni siku ujumbe wa Tanzania ulipokitembelea chuo kikuu cha New York kwa ajili hiyo. Timu iliongozwa na Mh. Jumanne Maghembe (Waziri wa maliasili na utalii-wa tatu toka shoto). Pia alikuwepo balozi wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa Mh. Mahiga-wa nne toka kulia.

2 comments:

Simon Kitururu said...

Ngojea tuangalie kama hii nayo sio nguvu ya soda!Maana siye Watanzania kwa kuanzisha jambo tu , hatujambo!Lakini kulifuatilia hasa likifikia anga ngumu , hatuna rekodi ya uhakika

MTANZANIA. said...

Simon,
Ila safari hii naona ka wakubwa wapo serious. Ila tusubiri tutaona.
"penye nia pana njia"