Friday, February 13, 2009

Robertine!


Karibuni kwa maoni

Thursday, February 12, 2009

Naogopa mkorogo!!

Moja kati ya magwiji wa muziki wa Kikongo. Huyu si mwingine ila ni Papa Wemba a.k.a naogopa mkorogo.

Karibuni kwa maoni

Monday, February 9, 2009

Korogwe Chuo cha Ualimu!!

Hapa ni kwenye lango kuu kuingia chuoni.

Ni chuo kilichopo mkoani Tanga katika wilaya ya Korogwe. Ni moja kati ya vyuo vikongwe kabisa hapa nchini ambapo walimu wetu wengi wamepita na kujizolea "teaching Pedagogy". Ni mahala pazuri pa kutembelea!

Karibuni kwa maoni

Tuesday, February 3, 2009

Tuupige vita ukimwi!!

Ndivyo wanavyoonekana kujadili. Hawa ni baadhi ya vijana waliopo shule za sekondari. Hapa ni Silver Sand Camping & Site ulipofanyika mkutano mkuu wa kitaifa wa kutimiza miaka 10 wa shirika lisilo la serikali la Femina Hip.

Tuesday, January 13, 2009

Mapambano dhidi ya ujinga!!


Mapambano dhidi ya adui ujinga yashika kasi! Shirika la Elimu Kibaha limeanzisha shule ya sekondari maalum kwa wasichana. Shule hii kwa sasa ni ya kutwa na inaitwa "Kibaha Girls' Sec. School. Shule nyingine za sekondari zilizo chini ya Shirika la Elimu Kibaha ni Kibaha Sekondari na Tumbi Sekondari. Vile vile kuna chuo cha maendeleo ya wananchi na chuo cha wauguzi. Karibu Shirika la Elimu Kibaha ujionee!

Karibuni kwa maoni

Kuhitimu mbona utamu!!


Safari ni hatua! Katika safari ya kupata elimu, kuna raha yake katika kila kituo muhitimu anapofikia. Pichani ni wafanyakazi mbalimbali katika Shirika la Elimu Kibaha wakifurahia nondo walizozipata kutoka vyuo mbalimbali ndani na nje ya nchi. "Watanzania tuna kiu ya kusikia na kujifunza toka kwenu"


Karibuni kwa maoni.