Tuesday, January 13, 2009

Kuhitimu mbona utamu!!


Safari ni hatua! Katika safari ya kupata elimu, kuna raha yake katika kila kituo muhitimu anapofikia. Pichani ni wafanyakazi mbalimbali katika Shirika la Elimu Kibaha wakifurahia nondo walizozipata kutoka vyuo mbalimbali ndani na nje ya nchi. "Watanzania tuna kiu ya kusikia na kujifunza toka kwenu"


Karibuni kwa maoni.

No comments: