Ni shule mtindo mmoja bila kujali umekalia kiti au umekaa chini.
Hali inavyokuwa wakati wa muhadhara katika moja ya kumbi za mihadhara chuo kikuu Mlimani.
"Wanakumbukwa kwa kuwa walikuja, wakatenda mema na hatimaye wakaondoka". Mimi na wewe tutakumbukwa kwa yapi?. Ni muda muwali sasa kwa mada jadidi kutekelezwa kwa vitendo na si lelemama. Naamini Tanzania yetu itafanikiwa.
Hali inavyokuwa wakati wa muhadhara katika moja ya kumbi za mihadhara chuo kikuu Mlimani.
Posted by
MTANZANIA.
at
9:01:00 PM
2
comments
(Pichani watanzania waishio Moshi walioamua kutembelea vivutio mbalimbali kama bango linavyojionyesha. Picha kwa hisani ya Juma Iddi Issa -wa kwanza toka kushoto.)
Posted by
MTANZANIA.
at
8:29:00 PM
1 comments
Posted by
MTANZANIA.
at
12:19:00 AM
1 comments
Ama hakika rangi za bendera yetu zinapendeza.
Posted by
MTANZANIA.
at
5:56:00 AM
1 comments
Pichani mwanadada akila pozi na mbwa wake.
Posted by
MTANZANIA.
at
10:40:00 PM
1 comments
(Pichani mwenye batiki ni mke wa mwanaharakati mahiri kutoka Kenya aitwaye Ngugi wa Thiong'o. Wengine ni wanafunzi wa NYU kutoka nchini Tanzania na Kenya.)
Posted by
MTANZANIA.
at
8:09:00 PM
3
comments
Wahenga walinena "kazi na dawa".Ndivyo inavyojidhihirisha katika picha ambapo waafrika mbalimbali waliamua kuifurahia ladha ya taarabu wakati wa sherehe za kuanza muhula wa pili wa masomo hapa NYU. Sipo pichani,ila kabla ya hapo niliwapa shule kidogo namna ya kuicheza na hayo ndo matokeo yake.
Posted by
MTANZANIA.
at
2:00:00 AM
2
comments
Tukiwa mbele ya sanamu la mashujaa sambamba na "double M" mjini Washington DC.
Posted by
MTANZANIA.
at
1:23:00 AM
1 comments
Pichani Mwl. Merchedes Method (katikati) aliye chuo kikuu cha Wisconsin akisikiliza kwa makini maelezo kutoka kwa kocha wa chuo (hayupo pichani) wakati wa mapumziko. Katika mechi hiyo Wisc. walishinda 2-0 huku yeye akiwa kapachika kimiani bao moja.
Posted by
MTANZANIA.
at
2:42:00 AM
2
comments
Muongozo wa dini ya kiislam.
Posted by
MTANZANIA.
at
3:41:00 AM
3
comments
(Pichani Mwl.Ngugi alipolitembelea darasa langu la kiswahili.Umefika wakati kwa serikali ya Tanzania kuwathamini walimu kwani walimu ni funguo za fani anuwai.)
Posted by
MTANZANIA.
at
10:32:00 PM
1 comments
Posted by
MTANZANIA.
at
3:23:00 AM
2
comments