Friday, February 16, 2007

Hakatizi mtu hapa!

Beki mahiri wa timu ya soka ya taifa (taifa stars), Shadrak Nsajigwa akiumiliki mpira mbele ya mchezaji wa Tigres du Brasil katika moja ya mechi za kujiandaa kabla ya kukabiliana na Senegal. Katika mechi hiyo Stars ilala kwa bao 1-0.

1 comment:

Anonymous said...

Huyo ndiye FUso! Ukimpita jipongeze.